MAHAKAMA
ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo imetoa hukumu ya kesi
ya makala iliyodaiwa kuwa ya uchochezi iliyokuwa inawakabili Meneja
Uendeshaji Biashara wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL),
Theophil Makunga, Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Arusha, Samson
Mwigamba na aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima
ambaye sasa ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006),
Absalom Kibanda ambapo wameibuka kidedea baada ya ushahidi upande wa
mashitaka kutojitosheleza. (PICHA: DEOGRATIUS MONGELA NA NYEMO CHILONGANI/GPL)
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU DKT SAMIA ATETA NA WAKUU WA KAMANDI,MATAWI NA
MAKAMANDA WA JWTZ MKOANI TANGA.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wakuu wa Kamandi, Wakuu wa Matawi na
Makamand...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment