Kutoka Bungeni Dodoma tunaarifiwa kuwa baada ya matokeo ya kidato cha nne kuwa mabaya mwaka,hatimaye serikali imekubali mapendekezo ya awali ya tume ya uchanguzi ya matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana kufutwa na kusahihishwa upya kupitia mfumo wa usahihishaji wa mwaka 2011 haraka iwezekanavyo.SOURCE ITV TANZANIA
TRAMEPRO Yataka Tiba Asilia itumike kwa Msingi wa Ushahidi wa Kisanyansi
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.
Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania (TRAMEPRO)
limezitaka Serikali za Afrika kuingiza tiba asilia, ut...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment