Kutoka Bungeni Dodoma tunaarifiwa kuwa baada ya matokeo ya kidato cha nne kuwa mabaya mwaka,hatimaye serikali imekubali mapendekezo ya awali ya tume ya uchanguzi ya matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana kufutwa na kusahihishwa upya kupitia mfumo wa usahihishaji wa mwaka 2011 haraka iwezekanavyo.SOURCE ITV TANZANIA
DED GEITA DC AMUELEKEZA MKANDARASI KUKAMILISHA SOKO LA KISASA NKOME KWA
WAKATI
-
Na Nasra Ismail, Geita
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Karia Rajab Magaro,
Juni 25, 2026 ametembelea mradi wa ujenzi wa Soko la Ki...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment