Kutoka Bungeni Dodoma tunaarifiwa kuwa baada ya matokeo ya kidato cha nne kuwa mabaya mwaka,hatimaye serikali imekubali mapendekezo ya awali ya tume ya uchanguzi ya matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana kufutwa na kusahihishwa upya kupitia mfumo wa usahihishaji wa mwaka 2011 haraka iwezekanavyo.SOURCE ITV TANZANIA
TASAC Yaahidi Kuendelea Kuimarisha Viwango na Usalama wa Mabaharia
-
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Mohamed
Salum, amesema mabaharia wana mchango mkubwa katika uk...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment